WAKULIMA MKOANI DODOMA WASHAURIWA KULIMA MAZAO YANAYOHIMILI UKAME
Na Hamida Ramadhani-Dodoma KATIKA kukabiliana na changamoto ya mabadiliko ya tabia ya nchi wakulima wa Mkoa wa Dodoma wameshauriwa kuendelea kulima mazao yanayostahimili ukame ikiwemo zao la Mtama na Uwele. Wito huo umetolewa jiji hapa na Meneja Mradi wa Kilimo hifadhi kutoka Dayosisi ya Central Tanganyika DCT Busela Yuga alipotembelewa kwenye Bada lao la Kilimo
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed